RC CHALAMILA AWAKEMEA WANAOMUONGEA VIBAYA HAYATI RAIS MAGUFULI

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albart Chalamila amefikia hatua ya kusema hayo baada ya kuona watu wanasaau kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea Maendeleo katika Kaya Zao na Serikali na badala yake wanakaa na kumjadili aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muhungano wa Tanzania, Hayati Daktari John Pombe Magufuli na kumsema alikuwa mbabe. Chalamila ameyasema